• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Chanjo ya polio kuanza kutolewa

Posted on: November 29th, 2022

Chanjo ya Polio kuanza kutolewa Desemba 01.

Halmashauri ya jiji la Mwanza kupitia kamati ya afya ,leo tarehe 30 Novemba wamekutana na kufanya kikao cha pamoja juu ya chanjo ya matone ya polio kwa watoto kuanzia umri 0 mpaka wiki 59.

Kampeini hiyo inatarajia kuanza kesho tarehe 1 mpaka tarehe 4 Dec ikiwa ni awamu ya nne ya utoaji wa chanjo hiyo.

Akizungumza wakati akimuwakilisha mkuu wa wilaya ya Nyamagana ambaye ni mwenyekiti wa kamati hiyo Ndugu Yonas Alfred, amewaomba wajumbe wajitahidi kutoa elimu zaidi kwa jamii ili zoezi hili liweze kufanikiwa kwa asilimia kubwa.

Nae Kaimu Mganga mkuu wa hospital ya wilaya ya Nyamagana Dkt Gibson Simbulye, amewashukru wanakamati kwa kufanikisha zoezi la chanjo kwa awamu ya tatu, na amewaomba kutoa ushirikiano kwa awamu hii ya nne ili kufikia watoto wengi zaidi na kuwasisitizia wajumbe wafanyie kazi ushauri uliotolewa katika kikao hicho juu ya ufanikishaji wa zoezi hilo la kitaifa.

Ameongeza kua chanjo hiyo ni mhimu kwa watoto wadogo maana madhara yake ni makubwa kwa sababu kinga zao za mwili hazijaimalika, na mtoto asiyepata chanjo hiyo ni rahisi sana kuambukizwa na kuambukiza wengine.Na pia amesisitiza chanjo hiyo ni salama kabisa.

Nae Mratibu wa kamati ya kampein ya chanjo Nyamagana Ndg Makubi Gondela Ameeleza awamu hii wanalengo la kufikia watoto 119,815 ( laki moja na elfu kumi na tisa mia nane kumi na tano) wenye chini ya miaka mitano na kampeini hii itakua ni ya nyumba kwa nyumba na watafika maeneo mbalimbali yakiwemo mashule,vituo vya mabasi, nyumba za ibada. Pia ameomba wawahimize watu wajitokeze ili watoto waweze kupewa chanjo hiyo ya matone.

Pia wajumbe wa kamati hiyo wamesema watatoa ushirikiano wa kutosha na kuwafikia watoto wengi zaidi.

Kamati hiyo inajumuisha viongozi wa dini, viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama, madiwani ,wataalamu mbalimbali, pamoja na makundi mbalimbali ndani ya jamii.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.