• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

BARAZA LA MADIWANI LAJADILI BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025.

Posted on: February 23rd, 2024

Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani  Mhe, Sima C. Sima ameongoza kikao cha Madiwani na wajumbe kujadili mapendelezo ya mpango wa bajeti ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa Mwaka wa fedha 2024/2025.

Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani Mhe, Sima amewataka madiwani na wajumbe kutoa mapendekezo, ushauri na maoni yenye tija katika bajeti ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2024/2025, kwani bajeti ndiyo kila kitu kwenye Halmashauri na hivyo kutazama kwa umakini miradi iliyoainiswa kama inatija kwa Jiji letu la Mwanza.

Mbunge wa Nyamagana Mhe, Stansilaus Mabula, amesisitiza kuwa soko la makoroboi lijengwe kawaida na siyo ghorofa kwa kuzingatia uchumi wa wafanyabiashara wenyewe. Pia alishauri kupunguza kiasi cha fedha kwa baadhi ya maeneo ili zitumike kurekebisha miundombinu.

Aliongeza kuwa maeneo yanayolegalega yafanyiwe kazi kwani mpaka sasa kati ya miradi 36 iliyotekelezwa ni miwili tu ilihali tunafahamu miradi ndiyo inayoleta uhai kwenye Halmashauri zetu.

Naye Mhe.Diwani Dionis Salala kupitia bajeti hii ameiomba Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuhakikisha wanalipa fidia wanachi kwa ajili ya kuchukua mashamba ya mradi wa upimaji viwanja na kushauri kupeleka miundombinu maeneo husika ili iwe rahisi kwa wadau kuvutiwa na maeneo hayo.

Pia, Mhe.Diwan Edith ameshauri kuwa kipaumbele cha shule ya msingi Nyaborogoya kiwe ni matundu ya vyoo na siyo madawati, kwani changamoto kubwa sana katika shule hiyo ni vyoo.

Katibu Mwenezi Ccm wilaya Mhe. Mustapha Banigwa amesema kuwa kutokana na kutokuwepo kwa chanzo kipya cha mapato  ni vyema wataalamu watoke nje wakajifunze mbinu za kubuni miradi mipya itakayokuza pato la Mwanza. pia ameshauri kuwa daraja linalounganisha Mkolani na Nyegezi likarabatiwe haraka ili kuendelea kuwepo mawasiliano mazuri baina ya pande zote mbili.

Mwisho Mwenyekiti wa Baraza la madiwani Mhe. Sima amemwambia Mkurugenzi kupitia timu yake ya  wataalamu kuchakata mapendekezo yanayofaa nakuyafanyia kazi kwa masilahi ya Jiji la mwanza na kuwaomba watumishi wanaolegalega katika utendaji kazi kujitathimini na kufanya kazi kwa kujitoa huku wakibuni mbinu za kuweza kuliongezea Jiji la Mwanza mapato mengi kwa kuzalisha fursa ambazo ni vipaumbele kwa wananchi.

Mara baada ya majadiliano hayo baraza lilipitisha Bajeti hiyo itakayotumika mwaka wa fedha 2024/2025.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.