• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Waziri lukuvi azindua mpango kabambe wa Jiji la Mwanza

Posted on: December 22nd, 2021

Waziri wa ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi mhe; William Lukuvi ameagiza watendaji na viongozi wote wa mitaa kuhakikisha wanasimamia taratibu na Sheria za ujenzi mijini ili kuepuka ujenzi holela na uvamizi wa ardhi.

Amesema mji wowote ulio na viongozi wanaozingatia sheria hauwezi kuwa na wananchi wanaolalamikia dhuruma ya ardhi zao,na pia mji wowote uliopangwa unazingatia taratibu za ujenzi kisheria kupitia mamlaka za Halmashauri kitengo Cha mipango miji.

"Ujenzi wowote unaofanyika mjini,unapaswa kuwa na vibali vya ujenzi,ambapo wataalam kutoka katika Halmashauri watafika eneo la ujenzi kulikagua na pia kushauri aina ya ujenzi kulingana na ramani na matumizi yaliyopangwa na serikali"alisrma Lukuvi.

Agizo hili limetolewa Leo alipokuwa anazindua awamu ya tatu ya mpango kabambe wa Jiji la Mwanza wenye maoteo ya kuliendeleza Jiji la Mwanza kwa kipindi Cha mwaka 2015 mpaka 2035.

Akizindua mpango huu kabambe waziri Lukuvi ameutaka uongozi wa serikali ya Mkoa wa Mwanza kwa usimamizi wa Mheshimiwa Mhandisi Robert Gabriel (Mkuu wa Mkoa wa Mwanza) kuhakikisha mpango huu unakilika kwa wakati kama ulivyo kwenye makaratasi.

Mpango kabambe wa Jiji la Mwanza ambao pia unazihusiaha Halmashauri za Jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilemela una lengo la kuboresha miji hiyo kiuchumi,miundo mbinu na huduma bora za kijamii ikiwa ni huduma za kisasa kwa kuzingatia ramani na mpango uliowekwa na serikali kupitia Halmashauri zake.

Akitoa wasilisho la mpango huu kabambe Afisa Mipango Miji Ndg; Mosses Seleki amesema kulingana na maoteo ya ongezeko la idadi ya watu na mahitaji mengine ya kijamii Halmashauri zimelazimika kuandaa mpango huu kabambe kwa lengo la kujitosheleza kimahitaji ya ardhi na huduma muhimu za kijamii.

Akifunga mkutano huo, Mheshimiwa Lukuvi amesifu jitihada za Halmashauri ya Jiji la Mwanza zakujenga madarasa ya ghorofa huku akizitaka Halmashauri zote nchini kuiga utaratibu huo ili kuweka matumizi mazuri ya ardhi katika maeneo ya umma.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • "SEKTA YA ELIMU HAITAWEZA KUSONGA MBELE KWA MCHANGO WA KUNDI MOJA " , MMHE. MAKILAGI

    May 30, 2025
  • MCHENGERWA AWATAKA MAAFISA HABARI KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • DKT. DUGANGE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 25 WA LVRLAC, AHIMIZA UONGOZI BORA NA ULINZI WA RASILIMALI ZA ZIWA VICTORIA

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.