• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

WATENDAJI WA KATA NA MITAA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO

Posted on: December 21st, 2024

Halmashauri ya Jiji la Mwanza imetoa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kiutendaji Maafisa Watendaji wa Kata na Mitaa ili kuwawezesha kufanya kazi kwa kuzingatia kanuni, sheria, taratibu na miongozo ya kazi.

 Kwa upande wake Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza  Leonard Majuto amesema kuwa mafunzo hayo ni mwendelezo wa  utoaji Elimu kwa watendaji ambayo yatawasaidia kufanya kazi kwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma huku wakishirikiana na viongozi wengine wakiwemo  Madiwani, wenyeviti Katika kusimamia miradi ya maendeleo ndani ya mitaa yao.

“Tayari tumetoa mafunzo kwa Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za Mitaa hivyo tunaamini sasa kwa pamoja wataenda kusimamia shughuli za Serikali, kuibua miradi ya maendeleo na kutatua migogoro ya wananchi” amesema Majuto.

Baadhi ya washiriki wa mafunzo  ambao ni mwajiriwa wa ajira mpya  Olaf Ndunguru na Christina Buha walisema yatawasaidia kufanya kazi kwa ufanisi ili kuleta maendeleo kwa wananchi huku watendaji walioko kazini akiwemo Caroline Masanja akisema yamewaongezea ari na nguvu mpya kazini.

Naye Dkt. John Kasubi mkufunzi kutoka chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo kampasi ya Shinyanga alisema mafunzo hayo yatawasaidia watendaji kushirikiana na wananchi badala ya kujiona mamwinyi kazini.

Aidha Meneja Rasilimaliwatu Chuo cha Hombolo tawi la Shinyanga Boniphace Michael alisema kuwa wamewafundusha mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na matumizi ya TEHAMA na umakini wa kutovujisha siri za ofisi. Lakini pia waliwakumbusha kufanya maandalizi sahihi ya kustaafu ili kuwa na maisha mazuri baada ya utumishi wa umma.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.