• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

VIJANA 65 KUPATIWA MAFUNZO YA KIDIGITALI JIJINI MWANZA

Posted on: August 27th, 2024

Halmashauri ya Jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilemela wakishirikiana na Shirika la Maendeleo la Ubelgiji ENABEL na wawezeshaji wa mafunzo ya Digital  skills " DIGIFY" ENNOVATE VENTURE wametoa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na mafunzo hayo kwa njia ya mtandao ( online learning) kwa vijana 65 walioshiriki kupata taarifa ( info session) katika ukumbi wa mafunzo ofisi ya Mganga Mkuu Mwanza. Mafunzo hayo yataanza mwezi Septemba, 2024.

Akizungumza Ndg.Daniel Kasongi Meneja na Mtaalam wa ICT kutoka Ennovate Venture amesema program hiyo ya "Digify Skills lab" ni mahususi kwa ajili ya vijana kujiendeleza katika fani mbalimbali ambazo zitawawezesha kujiajiri wenyewe lakini pia kuwakutanisha na wazoefu wa fani hizo ilikuwajenga na kuwasaidia kupata ajira au namna ya kujiajiri wenyewe kama freelancer.

Aliongeza kuwa "ili kupata mafunzo hayo vijana wanatakiwa kujisajili mtandaoni kwa kutumia wavuti ya bit.ly/DigifyMwanza . Lakini pia mafunzo hayo yataendeshwa kidigitali hivyo vijana mnatakiwa kuwa na vifaa vya tehama kama Tanakilishi Mpakato (Laptop), Simu janja (Smartphone) au Kishikwambi (tablet)" .

Waratibu wa mradi wa Green and Smart Cities project, Ndg. Fanuel Kasenene ( Mwanza Jiji) na Ndg. Ahmed Sakibu ( Manispaa ya Ilemela) wamewasisitiza vijana waliohudhuria kuchangamkia fursa hiyo ya mafunzo yanayotolewa bila malipo yoyote kwa sababu Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya wameona kuna umuhimu mkubwa wa kuwajengea uwezo vijana kuendana na mabadiliko ya teknolojia na fursa za kidigitali.

Vijana kutoka Wilaya ya Nyamagana wakishiriki kikao taarifa (Info Session) kuhusu mafunzo ya Digify skills 


Vijana kutoka Manispaa ya Ilemela wakishiriki kikao taarifa (Info Session) kuhusu mafunzo ya Digify skills 

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • "SEKTA YA ELIMU HAITAWEZA KUSONGA MBELE KWA MCHANGO WA KUNDI MOJA " , MMHE. MAKILAGI

    May 30, 2025
  • MCHENGERWA AWATAKA MAAFISA HABARI KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • DKT. DUGANGE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 25 WA LVRLAC, AHIMIZA UONGOZI BORA NA ULINZI WA RASILIMALI ZA ZIWA VICTORIA

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.