• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

USALAMA NYAMAGANA NI SAFI

Posted on: April 3rd, 2025

Akizungumza na wananchi wa kata ya Mkolani Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe.Amina Makilagi m namo April 3 , 2025 katika ziara yake kata ya Mkolani ameeleza kuwa serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan imejipanga ipasavyo kwenye masuala ya kiusalama katika Jiji letu la Mwanza hasa ndani ya wilaya yetu ya Nyamagana.

" niwatoe shaka wananchi wa kata hii ya mkolani ambayo ipo katika wilaya ya nyamagana suala la kiusalama ni safi asitokee mtu yoyote yule Kuja kutuchafulia amani yetu na usalama wetu tulionao "

Aidha , katika mkutano huo wa hadhara  Mhe.Amina Makilagi ametolea ufafanuzi wa changamoto ya Barabara kutoka password - Nyegezi kuelekea Msikitini eneo la Tenkini.

" .Ni kweli Barabara hii imekuwa ni changamoto kutokana na kusaahulika kwenye bajeti ya Fedha za ndani hivyo niwatake Tarura kwenye bajeti ya Fedha ya Mwaka  2025  Mpango huu wa ujenzi wa Barabara hii ya password kuja Msikitini - Tenkini muiweke Ili kupitia mapato ya ndani iweze kukamilika"

Katika ziara hiyo Mkuu wa wilaya ya Nyamagana ameueleza umma kuhusu mafanikio tuliyoyapata katika uongozi huu wa awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan imefikia wapi na inafanya nini Mhe. Amina Makilagi amesema,

" Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imetoa Shilingi Bilioni 5 Kukamilisha Ujenzi wa Daraja la Mkuyuni na Upanuzi Wa Barabara ambapo Mvua ikinyesha inakuwa ni changamoto kubwa hivyo Kwa kutambua umuhimu wa Barabara hiyo  na Kuepukana na Foleni Serikali hii imetoa bilioni 5 Kwa ajili ya matengenezo ya Barabara hiyo na utanuzi wa Daraja "

Ziara hii ya Mkuu wa Wilaya imekuwa ni sehemu ya Kusikilizwa Kwa kero Mbalimbali za Wananchi na Kuzitatua Kwa kadri inavyowezekana bila kujali dini , jinsia Wala kabila .

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.