• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

USALAMA NYAMAGANA NI SAFI

Posted on: April 3rd, 2025

Akizungumza na wananchi wa kata ya Mkolani Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe.Amina Makilagi m namo April 3 , 2025 katika ziara yake kata ya Mkolani ameeleza kuwa serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan imejipanga ipasavyo kwenye masuala ya kiusalama katika Jiji letu la Mwanza hasa ndani ya wilaya yetu ya Nyamagana.

" niwatoe shaka wananchi wa kata hii ya mkolani ambayo ipo katika wilaya ya nyamagana suala la kiusalama ni safi asitokee mtu yoyote yule Kuja kutuchafulia amani yetu na usalama wetu tulionao "

Aidha , katika mkutano huo wa hadhara  Mhe.Amina Makilagi ametolea ufafanuzi wa changamoto ya Barabara kutoka password - Nyegezi kuelekea Msikitini eneo la Tenkini.

" .Ni kweli Barabara hii imekuwa ni changamoto kutokana na kusaahulika kwenye bajeti ya Fedha za ndani hivyo niwatake Tarura kwenye bajeti ya Fedha ya Mwaka  2025  Mpango huu wa ujenzi wa Barabara hii ya password kuja Msikitini - Tenkini muiweke Ili kupitia mapato ya ndani iweze kukamilika"

Katika ziara hiyo Mkuu wa wilaya ya Nyamagana ameueleza umma kuhusu mafanikio tuliyoyapata katika uongozi huu wa awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan imefikia wapi na inafanya nini Mhe. Amina Makilagi amesema,

" Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imetoa Shilingi Bilioni 5 Kukamilisha Ujenzi wa Daraja la Mkuyuni na Upanuzi Wa Barabara ambapo Mvua ikinyesha inakuwa ni changamoto kubwa hivyo Kwa kutambua umuhimu wa Barabara hiyo  na Kuepukana na Foleni Serikali hii imetoa bilioni 5 Kwa ajili ya matengenezo ya Barabara hiyo na utanuzi wa Daraja "

Ziara hii ya Mkuu wa Wilaya imekuwa ni sehemu ya Kusikilizwa Kwa kero Mbalimbali za Wananchi na Kuzitatua Kwa kadri inavyowezekana bila kujali dini , jinsia Wala kabila .

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.