• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Naibu waziri afurahishwa na Miradi mikubwa inayotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza

Posted on: March 20th, 2018

Naibu waziri afurahishwa na Miradi mikubwa inayotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza

Naibu waziri Ofisi ya Rais –TAMISEMI,Mheshimiwa Joseph George Kakunda amefanya ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza na kutembelea miradi  Mikubwa inayotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza na wadau wengine wa maendeleo yenye thamani zaidi ya Shilingi Bilioni 5 za Kitanzania.

Miradi ya Maendeleo iliyotembelewa ni pamoja na Ujenzi wa Machinjio ya Kisasa yenye thamani ya zaidi ya milioni Miatisa,Ujenzi wa Dampo la Kisasa ambao utagharimu zaidi ya Bilioni Nne.

Akiwa Katika Machinjio ya Kisasa Mheshimiwa Kakunda,amewapongeza wadau wa maendeleo LVEMP pamoja na Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa kutekeleza mradi mkubwa  wenye kuzingatia athari za mazingira na utakaotoa fursa kubwa za kiuchumi kwa wakazi wa Mwanza

“Niwashukuru kwa kuwekeza kwenye mradi huu mkubwa  wa kisasa ambao utaongeza tija katika uchinjaji wa mifugo na uhifadhi wa mazao ya mifugo’’ alisema Mheshimiwa Kakunda.Sanjari na Machinjio  Mheshimiwa Kakunda akiwa katika Dampo la Kisasa Buhongwa, alishuhudia namna wananchi walivyovamia eneo hilo. Hivyo kutokana na uvamizi huo Mheshiiwa Kakunda amewataka wananchi wote walioko kwenye “Buffer zone” kuondoka mara moja maeneo hayo kwa ajili ya ustawi wa afya zao

Pamoja na ziara Mheshimiwa Kakunda alifanya Mkutano na watumishi wa Halmashauri na kuitaka Halmashaurii ya Jiji la Mwanza kuweka mfumo mzuri wa kuhifadhi milima ili kuzuia  uvamiaji wa maeneo ya milima ili kuzuia athari za mazingira

Pamoja na hilo, Mheshimiwa  Kakunda  ameiagiza Halmashauri kuteuwa shule kwa ajili ya watoto wenye mahitaji maalum ili kuwafanya walemavu kupata Elimu

Aidha Mheshimiwa Kakunda amesisitiza watumishi kufanya kazi kwa kuzingatia miiko na maadili ya watumishi wa umma hususani kuvaa mavazi yenye haiba.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.