• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MWANZA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2025

Posted on: March 6th, 2025

Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo  hufanyika kila mwaka Machi 8 yameadhimishwa mkoani Mwanza Leo March 6 , 2025 katika uwanja wa Nyamagana na kuhudhuriwa na viongozi pamoja wanawake kutoka wilaya zote za mkoa wa Mwanza huku mgeni rasmi akiwa ni mkuu wa mkoa wa Mwanza Mh.Said Mtanda kwa kauli mbiu ya Mwaka huu isemayo " Wanawake na wasichana 2025 ; Tuimarishe Haki , Usawa na Uwezeshaji "

Katika Maadhimisho hayo Mgeni rasmi Mh.Said Mtanda amewataka wanawake wa mkoa wa Mwanza kutathimini mafanikio na changamoto zilizopo katika jitihada za kutoa fursa sawa Kwa wanawake na wanaume kushiriki katika harakati sawa za kuboresha maisha  bila ubaguzi wa kijinsia.

"Niwatake wanawake wa mkoa huu kutathimini Mafanikio na Changamoto bila ya ubaguzi " amesema Mh. Said Mtanda.

Aidha , Mh. Said Mtanda ameleza sababu ya uwepo wa siku ya Wanawake Duniani iliyoanza mwaka 1977 huko nchini Marekani ambayo ilikuwa ni siku rasmi juu ya haki za wanawake ambapo walidai kulipwa ujira mkubwa , kupunguziwa muda wa masaa ya kazi pamoja na haki ya kupiga kura.

Vilevile , Mh. Said Mtanda amewashukuru wanawake wa mkoa wa mwanza Kwa zawadi ambazo wamempatia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan na kuhaidi zitamfikia kupitia wasaidizi wake.

Maadhimisho ya Siku ya Wanawake ni Jambo la Msingi Kwa Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Kila Mtu Kwani Wanawake Wanachangia Kwa Kiasi Kikubwa Katika Familia , Jamii na Uchumi wa Taifa .


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.