• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MKUU WA WILAYAN YA NYAMAGANA AWAPONGEZA WANANCHI WA BUGAYAMBA UJENZI WA MSINGI MINNE

Posted on: August 30th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi amewapongeza wananchi wa mtaa wa Bugayamba Kata  ya Lwanhima kwa kujitoa kwa gharama zao na kuanzisha ujenzi wa misingi minne kwa ajili ya Shule Mpya Bugayamba kabla ya Serikali kutoa fedha na kukamilisha ujenzi huo.

Mhe. Makilagi ametoa pongezi hizo Leo wakati wa ufunguzi wa Shule hiyo ambayo imekuwa msaada mkubwa kwa wakazi wa eneo hilo kutokana na kuwa na Shule Moja  ya Sahwa iliyokuwa imelemewa na Idadi kubwa ya wanafunzi.

“Niwapongeze wazazi kwa kuona mbali na kuanza kuchangishana mkanunua kiwanja na kuanzisha ujenzi kwa gharama zenu kweli mliona mbali na Serikali sikivu ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ikamwaga fedha na kumalizia ujenzi huu ambapo Leo wanafunzi zaidi ya 800 wanasoma bila wasiwasi”, amesema Makilagi

Mhe. Makilagi pia ametoa rai kwa wazazi kuendelea kuhimiza masomo kwa watoto na kutokuwa kikwazo cha kukatisha masomo yao kwa kuwapa Majukumu mengine na kuongeza kuwa ikibainika hatua Kali zitachukuliwa kwa wazazi hao.

Aidha amewahimiza wazazi kuhakikisha wanachangia kwa ajili ya chakula cha watoto wao wawapo shuleni kwani kufanya hivyo kunawarahisishia walimu kuwafundisha kwa kuelewa wanachofundishwa tofauti wakiwa na njaa.

Mhe. Makilagi pia ameweza kuchangia magunia matano ya mchele,  unga wa lishe, kunde na choroko kwa ajili ya kuhamasisha wazazi kwenye jambo hili.

Kwa upande wake Afisa Elimu Msingi Mussa Lambwe kutoka Halmashauri ya Jiji la Mwanza akimwakilisha Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza Wakili Kiomoni Kibamba amesema Shule imepatikana Muhimu kulinda miuondombinu na kusoma kwa bidiii.

Katika hatua nyingine Lambwe amewataka wazazi kuwa makini na watoto wao hasa kipindi hiki ambacho Dunia imebadilika na kuwaambia ukweli juu ya sehemu zao za nyeti na nani anatakiwa kuzishika Ili kukomesha vitendo vya ukatili wa kijinsia.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.