• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana atoa Mwezi mmoja kwa wamiliki wa vyombo vya usafirishaji Bubu kujisajili

Posted on: March 22nd, 2018


Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mheshimiwa Marry Tesha Onesmo ametoa muda wa Mwezi mmoja kwa wamiliki wa vyombo vya kusafirisha abiria na mizigo kama Boda boda,Bajaji,Taxi, Virikuu(ambao hawajasajiliwa) Kuhakikisha wanasajiliwa ifikapo tarehe 21/04/2018.

Mheshimiwa Tesha ameyasema hayo jana alipofanya Mkutano na waandishi wa Habari ofisini kwake ambapo amesema kwa mujibu wa sheria  ndogo ndogo za Halmashauri  vyombo  hivi vinatakiwa visajiliwe na kulipa Kodi/ushuru ambapo Pikipiki za Miguu mitatu na kirikuu ni shilingi elfu Tano, na Taxi ni shilingi Elfu Kumi Kwa Mwaka.

Sanjari na hilo ,Mheshimiwa Tesha pia amezungumzia utekelezaji wa agizo la waziri Mkuu la kuhakikisha wanafikia wananchi kwenye kata zao tofauti na walivyokuwa wanafanya hapo awali kutenga siku ya Juma nne na kukaa na watalaamu kwenye Ukumbi wa Ghandhall kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi.

“Tumeamua kubadili mfumo wa kusikiliza kero za wananchi kwa sasa tunawafuata wananchi kwenye kata zao,baada ya kushauriwa na waziri Mkuu kuwafikia wananchi na tayari tumeshaanza tangu tarehe 13/03/2018” amesema Mheshimiwa Tesha.

Aidha Mheshimiwa Tesha amesema Ratiba hiyo itaendelea kwenye kata zote 18 na itafikia tamati tarehe25/04/2018

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • VIJANA 75 WA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUNUFAIKA NA MAFUNZO YA UWEZESHAJI KATIKA UFUGAJI WA SAMAKI WA VIZIMBA

    October 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAFUNGUA MADARASA YA KISASA NA KUHAMASISHA UJUMBE WA MSHIKAMANO

    August 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWASILI WILAYA YA NYAMAGANA

    August 25, 2025
  • MFUMO WA FIDIA KWA WATUMISHI (CWF) WATOA ELIMU KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUHUSU HUDUMA YA MAFAO NA FIDIA

    September 16, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.