• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MKUU WA WILAYA YA NYAMAGANA ATANGAZA RASMI BEI ELEKEZI YA SUKARI.

Posted on: March 8th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe.Amina Nassor Makilagi katika kikao chake na waandishi wa habari kilichofanyika leo tarehe 8/03/2024 kwenye ofisi yake ameweka bayana bei  elekezi ya sukari kwa wananchi  na wafanyabiashara wa wilaya ya nyamagana.

Mhe. Amina Nassoro Makilagi amewataka wafanyabiashara wa sukari  kufuata yale yaliyoadhimiwa kwenye kikao alichokaa na wafanyabiashara hao. Ikiwa ni pamoja na kufuata  sheria iliyowekwa na kutoa risiti ya manunuzi ya sukari kwa bei elekezi kwa mujibu wa sheria na 251, iliyotolewa katika tangazo na 40A la tarehe 23/01/2024.

Nakuongeza kuwa wafanyabiashara hao wa jumla na rejareja  wahakikishe wanauza kulingana na bei elekezi iliyotolewa na bodi ya sukari ambayo kwa bei ya jumla ni 2650 hadi 2800 na rejareja ni 2800 hadi 3000. Lakini pia wafanyabiashara hao watakiwa kubandika tangazo la bei katika maeneo ya biashara zao ili wananchi wajue bei halisi ya sukari.

Pia, Mkuu wa wilaya ya Nyamagana amemuagiza Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kuhakikisha  anawasimamia watendaji wa kata, serikali za mitaa na maafisa kilimo wanaosimamia bidhaa kuhakikisha wanasimamia kikamilifu utekelezaji wa agizo Hilo ili kupunguza ukali wa mfumuko wa bei wa bidhaa zingine, kwani itasaidia kupunguza ukali wa maisha kwa mwananchi.

Aliongeza kuwa kwa watakaokiuka  na kushindwa kusimamia agizo Hilo washughulikiwe kupitia sheria namba 251 kifungu kidogo cha 6 ili kila mtu atimize wajibu wake.

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana amewaeleza waandishi wa habari kuwa kazi ya serikali ni kuwatumikia, kuwasikiliza, na kutatua changamoto za wananchi ikiwemo hii ya sukari, hivyo kuamua kutoa elimu kwa wananchi kuhusu bei elekezi ya bidha hiyo ili wasiibiwe au kushurutishwa na wafanyabiashara ikiwemo kuwalazimisha wauzaji wa rejareja kununua bidhaa nyingine ili apate sukari.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.