• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MKUU WA MKOA WA MWANZA AZINDUA RASMI UUZAJI WA TIKETI ZA TAMASHA LA PAMBA DAY

Posted on: July 22nd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda, Amefanya  kikao na Waandishi wa Habari leo Julai 22,2024 katika uwanja wa Nyamagana kwa lengo la kufungua rasmi uuzwaji wa Tiketi kuelekea kilele cha Tamasha la Pamba Day tarehe 10 Agost, 2024 katika viwanja vya CCM Kirumba.

Akizungumza katika Uwanja wa Nyamagana amewaeleza wadau wa soka na wapenzi wa Mpira wa Miguu kuwa kuelekea kilele cha Tamasha la Pamba Day katika Uwanja wa Ccm Kirumba tiketi za bei tofauti tofauti zitaanza kuuzwa  mapema hivi leo baada tu ya uzinduzi wa tiketi hizo kwa ghrama ya shilingi za Kitanzania 50,000/= V.I.P, 20,000/=, 10,000/= na 3,000 mzunguko ili  kila shabiki wa Pamba FC apate fursa ya kushiriki na kuishangilia timu yake pendwa.

Mhe, Said Mtanda ameongeza kuwa siku ya Tamasha la Pamba Day Wachezaji wote watatambulishwa rasmi sambamba na kuutambulisha uongozi wote wa timu yetu pendwa, zoezi litakalo kwenda sambamba na mechi ya kirafiki  itakayochezwa uwanjani hapo ambapo burudani mbalimbali kutoka kwa Wasanii wetu wa ndani na nje ya Mwanza watatumbuiza akiwemo FID Q, Harmonize na wengine wengi kutoka kanda ya ziwa na Tanzania kwa ujumla.

Pia Mkuu wa Mkoa ameipongeza Bodi ya Timu ya Pamba kwa kazi waliyoifanya ikiongozwa na Msitahiki Meya wa Jiji   Mhe, Sima C. Sima na Mwenyekiti wa Pamba Jiji FC Mhe. Bhiku Kotecha kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuisimamia Timu ya mpira hadi leo ipo kambini kwa ajili ya maandalizi na siku yoyote watarejea kwa ajili ya Tamasha la pamba day.

Mkuu wa Mkoa Mhe, Said Mtanda amemaliza kwa kutoa wito kwa wapenzi na wadau wa mpira kuwa baada ya leo waendelee kukata tiketi katika Ofisi za Mkurugenzi, Ccm kirumba, Nyamagana, Ofisi za kata na Matawi yote ya Timu za Pamba ikiwa ni pamoja na kununua  tisheti ili  kila shabiki apate Tisheti yake kwa wakati, huku akisisitiza kuepuka matapeli kwa maana tikeki zote zinazotolewa ni za mashine.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.