• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AMEWATAKA WAFANYA BIASHARA KULIPA KODI KWA HIARI.

Posted on: May 2nd, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Wakili Kiomoni Kiburwa Kibamba amefanya mazungumzo na waandishi wa habari leo Mei 2, 2024  katika ofisi yake, kwa lengo la kupaza sauti kwa wananchi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuwaomba na kuwasihi kulipa ushuru, kodi na ada mbalimbali  kwa hiari bila shuruti.

 Wakili Kibamba amesema kwamba, Kabla ya tamko hili Halmashauri  ilifanya juhudi mbalimbali kuwakumbusha wananchi kulipa kodi kupitia watendaji wa mitaa na gari la matangazo lakini walio wengi bado hawajalipa kodi zao na tumebaki na miezi miwili tu mwaka wa fedha kuisha hivyo basi ndani ya hiyo miezi tumejipanga kukusanya kodi pasipo kupoteza hata senti moja. Hivyo  nawaagiza wahusika kulipa mara moja kuepuka usumbufu.

Aidha Wakili Kibamba ameongeza kuwa kwa upande wa leseni za Biashara zilizosajiliwa  ni 16091 na maombi yaliyoidhinishwa kwenye mfumo ni 15591 na ambayo hayakuidhinishwa ni 43 kati ya hizo leseni ambazo zimetolewa ni 12209 sambamba na hivyo kuna wafanya biashara 3310 ambao  hawajalipa leseni pamoja na ushuru wa huduma 3600, 72000 na 108000 na wafanya biashara 685 wana control namba lakini bado hawataki kulipa. nawasihi walipe kabla hatujawafungia maduka au kuwapeleka mahakamani kwa mujibu wa sheria.

Vilevile amesema kwenye maegesho ya magari zipo kampuni 86 ambazo wana maegesho maalum, amewataka kuonesha lisiti maalum za malipo, na wasiolipa walipe na kuongeza kuwa maegesho yote yatavunjwa na kupangwa upya kwa kupitia mikataba yao na pia  wachukue control namba walipe.

Nao wamiliki wa vizimba na vyumba kwenye masoko wanasisitizwa kulipa kodi ya pango wasisubiri kufungiwa au kupelekwa kwenye Mahakama inayotembea sambamba na waliojenga bila vibali wajisalimishe kulipa faini kwa mujibu wa sheria.

 Mwisho amemaliza kwa kusisitiza kuwa ulipaji kodi unafanywa kupitia control namba, na wale wenye POS ndo wanaoruhusiwa kukusanya ushuru kwa sababu wanatoa lisiti, malipo yatakayo fanyika kinyume na hivyo Halmashauri haitahusika.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.