• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MIAKA 63 YA UHURU WA TANZANIA BARA

Posted on: December 9th, 2024

Katika kuadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika leo Disemba 09,2024 Halmashauri ya Jiji la Mwanza imeadhimisha sherehe hizo kwa kupanda miche ya miti ya matunda na vivuli zaidi ya 500 na kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo usafi wa mazingira pamoja na Michezo.

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi amesema katika kuadhimisha siku hiyo wamepanda miti katika shule mpya ya Msingi Shadi inayojengwa Kata ya Luchelele, shule ya msingi Buhongwa na Bulale Sekondari ambapo miti hiyo itasaidia kupata mvua za kutosha, kupunguza mafuriko, kusaidia kukabiliana na ukame pamoja na kupunguza hewa chafu ya ukaa inayoweza kuathiri mazingira na Afya za binadamu.

Makilagi ameongeza kuwa zoezi la usafi limefanyika maeneo mbalimbali Katika jiji la Mwanza ikiwemo Hospital ya Wilaya ya Nyamagana (Butimba) ambapo amesisitiza zoezi hili kuwa endelevu ili kuhakikisha mazingira yanakuwa safi kwa ulinzi wa Afya za wananchi wanaoishi katika maeneo husika.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza Bi Agnes Majinge ambaye ni Afisa Utamaduni wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza amesema kuwa katika kuadhimisha miaka 63 ya Uhuru Sekta ya Michezo imepiga hatua kubwa kupitia Serikali ya awamu ya sita na kumpongeza Mhe Rais kwa namna anavyojitoa na kuhakikisha Michezo inasonga mbele hasa kupitia goli la mama.

Hivyo nasi kwa kutambua umuhimu wa Michezo Mkurugenzi wa Halmashauri ameandaa mashindano ya mechi kati ya timu ya Mwanza Veteren na Mwanza City Council Veteran ambazo zimecheza katika maadhimisho hayo na kuwaomba wadau wa Michezo kujitoa kwa hali na Mali ili kuwawezesha wachezaji na vijana chipukizi waendelee kukuza vipaji vyao na sekta ya Michezo kwa ujumla.

Bi Agnes amehitimisha kwa kusema kuwa Michezo ni Afya na kuwataka wananchi kushiriki mazoezi ya mara kwa mara ili kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza na kuimarisha Afya zao.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • "SEKTA YA ELIMU HAITAWEZA KUSONGA MBELE KWA MCHANGO WA KUNDI MOJA " , MMHE. MAKILAGI

    May 30, 2025
  • MCHENGERWA AWATAKA MAAFISA HABARI KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • DKT. DUGANGE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 25 WA LVRLAC, AHIMIZA UONGOZI BORA NA ULINZI WA RASILIMALI ZA ZIWA VICTORIA

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.