• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Shule ya sekondari mtoni yaadhimisha miaka 10 kwa zoezi la upandaji miti na kufanya changizo kwa ajili ya Ofisi ya Mkuu wa shule na Maktaba ya shule

Posted on: May 8th, 2017

Shule ya Sekondari Mtoni imechangisha zaidi ya milioni Kumi kwenye maadhimisho ya miaka 10 ya shule hiyo ya sekondari ambayo yalifanyika katika kata ya Mabatini jijini Mwanza.

Maadhimisho hayo yalihudhuriwa na Mheshimiwa Mary Tesha Onesmo (Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana ) Ambaye alimuwakilisha  Mgeni Rasmi wa siku hiyo Mheshimiwa John Mongela Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ambaye hakufika kwa kutingwa na majukumu mengine ya Kitaifa.

Maadhimisho haya yalizinduliwa kwa Shule na Jamii husika kufanya usafi wa mazingira katika kata ya Mabatini, Mgeni rasmi kupanda miti katika eneo la shule,maonesho mbalimbali ya Wanafunzi, Vikundi vya ngoma za asili na kwaya ya shule kutumbuiza .

Akitoa Salamu zake Mheshimiwa Mary Tesha Onesmo alifurahishwa kwa Uongozi mzuri aliouonyesha Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Mabatini “ Pamoja na tofauti za itikadi za vyama vya siasa Mheshimiwa Diwani ameweka mbele suala la maendeleo na leo anatekeleza ilani ya chama Tawala, ni vyema viongozi wengine tukaiga hili” Mheshimiwa Mary Tesha

Aidha Mgeni rasmi alimtaka Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kutoa fidia kwa Mzee mwenye soko la samaki eneo hilo la shule, ili aweze kuondoka ili shule iwe na eneo la kutosha la kujenga ofisi.

Bi Mary Tesha Onesmo pia aliipongeza shule pamoja na Bodi yake kwa kuwa wabunifu na kuona ni vyema katika maadhimisho hayo kufanya  changizo kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Shule na Maktaba.

Akiongea wakati wa maadhimisho hayo Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza Ngd Omary Kamata aliupongeza Uongozi wa Shule na Kamati ya Maendeleo ya Kata ya Mabatini kwa Jitihada wanazozifanya za kuwashirikisha wananchi kwenye suala zima la maendeleo ya shule.

Aidha Kaimu Mkurugenzi aliahidi kuwa Baada ya Shule kumaliza kujenga Boma la Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Shule na Maktaba alimashauri  itapaua  jengo hilo.

Lengo la Changizo ni kupata kiasi cha Milioni Hamsini kwa lengo la kujenga ofisi ya Mkuu wa Shule na Maktaba ya Shule,Lakini Harambee ilichangisha kiasi cha zaidi milioni kumi ikiwa Milioni Mbili imetolewa na wananchi,Milioni Moja ilipatikana siku hiyo na Ahadi ya zaidi ya  Shilingi Milioni Nane za Kitanzania.



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.