• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Mhe.Mongella aongoza zoezi la ugawaji wa vitabu zaidi ya 60,000 kwa shule za Msingi zilizopo Jijini Mwanza

Posted on: April 25th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mheshimiwa John Mongella leo ameongoza zoezi la ugawaji vitabu katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Zoezi hilo limefanyika leo katika shule ya Msingi Buhongwa.

Akiongea wakati wa zoezi hilo Mhe. Mongella amesema  Mkoa wa Mwanza umepokea vitabu 500,466 vyenye thamani ya Bilioni 1.3 Kutoka kwa Mhe.Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John P.Magufuli kwa ajili ya wanafunzi wa Darasa la I,II na III vitabu hivi vinajumuisha vitabu vya Michezo,Kusoma, Afya na mazingira na kuandika. Katika Idadi hiyo  Halmashauri ya jiji la Mwanza inapata Jumla ya Vitabu 60705 vya kiada.

Aidha Mheshimiwa Mongella amesema pamoja na Jitihada kubwa zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano ya kuboresha na kutoa  elimu bila malipo kwa watanzania ,watanzania wameitikia wito wa kuwapeleka watoto shule na kufanya miundo mbinu ya baadhi ya shule kuzidiwa .Hivyo ni vyema wazazi wakashirikishwa kuchangia kwa ajili ya kutatua matatizo madogo madogo kama vile Matundu ya vyoo “serikali ni wananchi na sisi viongozi ni vielelezo tu hivyo si vyema wananchi kuona masuala ya maendeleo hayawahusu yanahusu serikali” amesema Mhe.Mongella

Mkuu wa Mkoa ameendelea kusisitiza walimu kutekeleza majukumu yao ya kufundisha kwa bidii na kuwawajibisha wanafunzi wenye utomvu wa nidhamu kwa mujibu wa sheria na taratibu ili kujenga nidhamu kwa wanafunzi.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo Mstahiki meya wa Jiji la Mwanza Mhe.James Bwire amewataka walimu kuvitunza vitabu hivyo na kuhakikisha wanafunzi wanavisoma kwa ajili ya kupata maarifa.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya zoezi hilo Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza Kiomoni Kibamba Kiburwa amemshukuru Mhe.Rais kwa jitihada kubwa anazozifanya katika kuimarisha na kuboresha Elimu.

Aidha Kibamba amesema amesema kwa sasa wamepokea vitabu 60700, na mwaka Jana walipokea vitabu 71,000 hali inayopelekea shule za msingi kuwa na uwiano wa Mtoto Mmoja Kitabu Kimoja

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.