• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Mhe.Makalla akagua Uandikishaji watoto wa Darasa la Kwanza na awali

Posted on: January 9th, 2024


Ikiwa ni january 09-2024 Mkuu wa Mkoa,  Kamati ya siasa na wataalam kutoka Halmashauri ya Jiji la Mwanza wametembelea Shule ya Msingi  Kanenwa iliyopo kata ya Kishiri na  shule ya sekondari Mirongo  iliyopo kata ya Mbugani   nakutoa nasaha zao kama viongozi.


 Mheshimiwa CPA  Amos Makala  amepokea taarifa ya shule ya Msingi Kanenwa  iliyojengwa kwa mradi wa Boost   uliogharimu kiasi cha  Tsh million 540 ikiwa na jumla ya Madarasa 16 ambayo 14 ni ya Elimu msingi na 2 ni kwa ajili ya watoto wa awali na matundu ya vyoo 27 na jumla  ya wanafunzi 250 wamesajiliwa  na wengine 654 wamehamia kutoka Bukaga shule ya  msingi, suala ambalo limesaidia  kuepusha usumbufu kwa wanafunzi waliyokuwa wakitembea umbali mrefu kufata huduma ya Elimu.


CPA Amos Makala mkuu wa mkoa wa mwanza amesema "Shule zote za Mwanza zimesajiliwa kwa mujibu wa sheria"  hivyo anatoa pongezi kwa wazazi kwa mchango waliyoutoa katika ujenzi wa shule ya Kanenwa na kwa jitihada zao za kuwaleta watoto kusoma anawahimiza waendelee kutilia mkazo suala la elimu kwani ni haki ya mtoto kusoma.


Vilevile Mkuu wa Mkoa ameuagiza uongozi wa Halmashari ya jiji  kuhakikisha maji na umeme vinafika kwa wakati ili kukidhi miundombinu ya shule  kwa kuwafanya wanafunzi kuwa na mazingira rafiki ya kujisomea.


Mkuu wa mkoa wa mwanza  amekagua ujenzi wa madarasa kwa mfumo wa Ghorofa katika shule ya Sekondari  Mirongo iliyopo kata ya Mbugani  yenye "wanafunzi 1264  na wanafunzi waliochaguliwa kulipoti hapo ni 223 ikiwa wavulana ni106 na wasichana ni 117 hivyo tu baada ya idadi  hiyo kukamilika wanafunzi watafundiswa kozi ya awali ya kingereza kwa majuma 6"kama utaratibu ulivyowekwa na shule hiyo lipoti hiyo imetolewa na miss Masenya mkuu wa shule.

Vilevile Mbunge Mhe Stansilaus  Mabula na Katibu wa chama cha mapinduzi Ndg, Robert Karega  wameishukuru serikali kwa kuendelea kutekeleza IIani ya chama cha mapinduzi kwa ujenzi wa madarasa, pia wamewashukuru wananchi kwa kuendelea kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali ili kuhakikisha watoto wanapata haki yao ya elimu pasipo kipingamizi.

Waalimu wametakiwa kuhakikisha wanafunzi wanaripoti shule kwa wakati na kutambua idadi ya wanafunzi ambao hawatafika na sababu zinazowafanya wasifike shule kabisa na kutoa taarifa kwenye  ofisi zao za kata kwa uchunguzi zaidi kwani kila mtanzania anayo haki ya kupata elimu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • "SEKTA YA ELIMU HAITAWEZA KUSONGA MBELE KWA MCHANGO WA KUNDI MOJA " , MMHE. MAKILAGI

    May 30, 2025
  • MCHENGERWA AWATAKA MAAFISA HABARI KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • DKT. DUGANGE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 25 WA LVRLAC, AHIMIZA UONGOZI BORA NA ULINZI WA RASILIMALI ZA ZIWA VICTORIA

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara la Baraza la Madiwani na Wakuu wa Idara katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.