• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MBUNGE WA NYAMAGANA AKAGUA MIRADI YA SEKTA YA ELIMU

Posted on: July 11th, 2024

Mbunge wa Nyamagana Mhe. Stanslaus Mabula amefanya ziara ya kukagua shule za sekondari  kwa lengo la kufanya tathimini na kujua mapungufu ili kuyafanyia kazi ikiwa nisehemu ya utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi.

Katika ziara hiyo Mhe.Mabula amezuru shule nne za Sekondari ambazo ni Nyamagana, Fumagira, Stanslaus Mabula, na Mahina.

Mhe.Stanslaus Mabula akiwa katika ziara yake ameeleza kuwa Nyamagana ni moja ya wanufaika waliyopata takribani Bilioni 3 na milioni 900 kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa na kukarabati wa miundombinu mingine.

Kupitia ziara hiyo, Mbunge wa Nyamagana aipongeza TASAF kwa mchango wake mkubwa wa ujenzi wa miundombinu licha ya kusaidia kaya masikini lakini pia imetambua changamoto inayowakabili wanufaika wao ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madarasa, pia amewapongeza watendaji wa mtaa na kata kwa kuhakikisha wanachangia 10% ya ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya madarasa na kusisitiza kuwa mchango huo wanaoutoa wananchi kuuainisha ili nguvu kazi yao ionekane kwenye makabidhiano pindi mradi unavyokamilika na kuwasilishwa.

Aidha Mbunge wa Nyamagana akiwa katika eneo la shule ya Sekondari ya Stanslaus Mabula amesema Serikali italeta viti na Meza kwa walimu na kueleza kuwa Milioni 481 zilizopo zitajenga Mabweni 2, Madarasa 4, Nyumba za waalimu na Matundu ya vyoo 10. Vilevile ameongeza kuwa atawatuma wataalam wa umeme na maji kuleta huduma hizo mara moja na mara baada ya umeme kuletwa itanunuliwa mashine yakutolea kopi lakini pia kuhakikisha miundombinu ya shule hiyo inakaa sawa ili kuharakisha uanzishwaji wa kidato cha Tano na Sita.

Naye, Ndg Mafuru Afsa Elimu Sekondari Wilaya ya Nyamagana.Amempongeza Mbunge na serikali kwa ujumla kwa jitihada wanazozifanya ili kuhakikisha Halmashauri ya Jiji la Mwanza inapata shule ya kidato cha Tano na Sita ya mfano nakuongeza kuwa shule hiyo Stanslaus Mabula itakapofunguliwa itakuwa ni moja kati ya shule bora za Serikali katika Wilaya ya Nyamagana.

Mbunge wa Nyamagana amehitimisha kwa kuwataka watendaji wa mtaa na kata kwa kushirikiana na Madiwani kulinda maeneo ya Shule yasiingiliwe na wananchi na kwa yeyote atakaekaidi na kukiuka maagizo ya uongozi achukuliwe hatua za kisheria.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.