• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MAFUNZO WEZESHI KUCHOCHEA ONGEZEKO LA MAPATO YA NDANI MWANZA JIJI NA ILEMELA.

Posted on: April 22nd, 2024

Halmashauri ya Jiji la Mwanza na Manispaa ya Wilaya ya Ilemela wameshiriki Mafunzo ya Usimamizi wa Mapato ya ndani yanayofanyika kwa siku 4 katika ukumbi Wa Mandela - Gold Crest kuanzia tarehe 22April, hadi 25April,2024 yaliyobeba dhima ya kuziwezesha Halmashauri hizo kusimamia kwa weledi ukusanyaji mapato ya ndani ya Halmashauri hizo.

Mafunzo hayo yaliyodhaminiwa na GREEN AND SMART CITIES  yamehusisha Washiriki kutoka Idara na Vitengo mbalimbali kama vile Tehama, Sheria, Mapato , Ardhi,   Mifugo, Uvuvi, Kilimo, Uchumi, Habari, Biashara na Uwekezaji pamoja na Idara ya Ujenzi.

Akifungua rasmi Mafunzo hayo Eng. Anthony Sanga kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda Amesema "Sekretarieti ya Mkoa wa Mwanza inatarajia kuona kwamba baada ya Mafunzo haya kutakuwa na maongezeko makubwa kutoka makusanyo ya awali yaliyokuwa yakipatikana ndani ya Halmashauri zetu zote mbili yaani Mwanza Jiji na Manispaa ya Halmashauri ya Ilemela."

Aidha, Eng. Sanga ameongeza kusema kuwa tunataraji kuona kuwa kumekuwepo na ubunifu mpya wa kubuni vyanzo vipya vya mapato, kuimarisha Mikakati na mbinu za kukusanya mapato, kuweka sheria ndogo za  ukusanyaji mapato hayo na kuzisimamia, kulinda nidhamu ya mapato yanayopatikana, kujenga miundombinu hasa katika maeneo ambayo mazao ya Samaki yatawekwa sambamna na machinjio ya mifugo, pamoja na kuanzisha Kanzidata kwa ajili ya kudhibiti makusanyo yanapatikana.

Naye Mwezeshaji wa Mfunzo hayo Prof. Thomas Mhanga amewataka Washiriki wote wa Mafunzo hayo kushiriki kikamilifu katika mafunzo hayo ikiwa ni pamoja na kuchangia mawazo panapo stahili ili kuongeza uelewa zaidi kwa washiriki wote.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Serikali Yatenga Bilioni 12 Kukamilisha Ujenzi wa Jengo la Ghorofa Tano Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana

    July 04, 2025
  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.