• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA AFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MPANGO MKAKATI WILAYA YA NYAMAGANA 2024/2025

Posted on: August 12th, 2024


Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania Ndg, Suzan Peter Kunambi (MNEC)amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya kimkakati  katika Wilaya ya Nyamagana leo  Agosti  12,2024 huku akitaka kujua namna Ilani ya Chama Cha Mapinduzi inavyotekelezwa


Katika ziara hiyo Ndg, Suzan Peter Kunambi (MNEC) Amekagua na kuzindua Mradi wa vyerehani Katika Ofisi za Ccm wilaya ,unaomilikiwa na Umoja wa Wanawake  Mwanza, ambao walifadhiliwa na Mbunge wa Viti maalum  Mhe Kabula Shitobero, licha ya uzinduzi huo kufana  wamiliki wameshauriwa kuukuza mradi huo kwa kuwaomba  wengine kuongeza vyerehani vya kisasa na kuhakikisha wanakuwa na mhasibu watakaemuamini kwenye suala la pesa ili kuondoa migogoro inayohusiana na mradi huo.


Ndg,Suzan Peter Kunambi (MNEC) ambaye ni Katibu Mkuu Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT)ameweza kukagua miundombinu ya Shule ya sekondari Stanslaus  Mabula yenye jumla ya wanafunzi 82 na Shule ya Msingi Kanenwa zilizopo kata ya Kishiri,   nakuwapongeza waliyosimamia miradi kwani imekamilika vizuri pasipo na shaka huku akizitaja kuwa shule bora za mfano nakuwahimiza wazazi kuwasomesha watoto kwakuwa serikali imewasogezea wanachi  miundombinu ya shule karibu huku pia akiwaambia wanafunzi waitunze kwa kuwa itatumika kizazi na kizazi .


Pia Ndg, Suzan Peter Kunambi (MNEC) amewataka wananchi wa Kishiri, kujitokeza kujiandikisha kwenye uboreshaji wa Daftari la kupiga kura linalotarajia kuanza Agosti 21-28 , 2024  huku akisisitiza anaetakiwa kujiandikisha ni Mwenye Miaka 17 nakuendelea  na amewataka wanawake kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali katika serikali  huku akisisitiza waoneshe uthubutu na uwezo wao.


Naye, Meneja Tarura Jiji  la Mwanza Ndg, Dastani kishaka amewasilisha taarifa ya ujenzi wa Barabara ya kiwango cha lami inayojengwa  Buhongwa -Igoma yenye urefu wa Km 14.4 na ujenzi umefikia asilimia 45 na unagharimu kiasi cha  bilioni 22.7 bila VAT na unakaribia kukamilika tarehe 29 Feb, 2025  naKatibu Mkuu wa umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)baada ya kupokea taarifa hiyo amesisitiza mradi usimamiwe na kuisha kwa wakati ili kufungua  fursa  kwakuwa itakuwa chachu ya maendeleo kwa watanzania.


Mbunge wa viti Maalum Mhe, Kabula Shitobero amewataka wazazi kuwajibika katika Malezi, ili kukomesha vitendo vya unyanyasaji wakijinsia huku akisema kati ya watoto 3 wa kike 1 kafanyiwa ukatili wa kijinsia na katika 7 wakiume 1 kafanyiwa ukatili hivyo basi amesisitiza wazazi  kutowapa watoto vitu hatarishi kama simu vinavyopelekea mmomonyoko wa maadili na kuacha Tamaduni zilizopitwa na wakati na kutoa taarifa kunakohusika pindi tu mtoto anapofanyiwa unyanyasaji wa kijinsia.


Ndg, Suzan Peter kunambi (MNEC)  amewataka wananchi kuchangamkia fursa za Mikopo ya 10% inayotolewa kwa wanawake 4% , vijana 4% na walemavu 2% ambapo mpaka sasa kuna zaidi ya Billioni mbili kwa ajili ya mikopo kwenye Halmashauri ya Jiji la Mwanza, hivyo amesisitiza watu wapewe elimu nawakipeswa  ili kupunguza mikopo inayoumiza wananchi.


Wananchi wametakiwa kujikita katika matumizi ya Nishati safi  ya kupikia. ikiwa ni mpango wa Rais Dr, Samia Suluhu Hassan ili kuondoa uchafuzi wa mazingira, Moshi wa muda mrefu unaopelekea kuoza kwa mapafu hivyo kuja na sera hiyo ambayo utekelezaji wake unaenda hadi 2035 ili kuhakikisha kila mwananchi anajikita katika nishati safi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • "SEKTA YA ELIMU HAITAWEZA KUSONGA MBELE KWA MCHANGO WA KUNDI MOJA " , MMHE. MAKILAGI

    May 30, 2025
  • MCHENGERWA AWATAKA MAAFISA HABARI KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • DKT. DUGANGE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 25 WA LVRLAC, AHIMIZA UONGOZI BORA NA ULINZI WA RASILIMALI ZA ZIWA VICTORIA

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.