• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

KAMATI YA USALAMA WILAYA YAKAGUA UJENZI WA BARABARA YA BUHONGWA, KISHIRI HADI IGOMA.

Posted on: February 14th, 2025

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe, Amina Makilagi akiwa ameambatana na Wajumbe wa Kamati ya Usalama na Wakuu wa Idara kukagua miradi mbalimbali ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa Barabara ya Buhongwa -Igoma

Aidha Meneja TARURA , Muhandisi Dastani  Alifred ambaye ni msimamizi wa mradi amesema tunajenga Barabara kwa viwango vinavyohitajika na mkandarasi anapaswa kumaliza kwa wakati kwa

sababu fedha za ujenzi zipo licha yakuomba kuongezewa mkataba kama akikidhi vigezo ataongezewa asipokidhi itabidi apigwe faini ya (re -created demages)kwa kushindwa kumaliza mradi.

Mbali na kukagua barabara Mkuu wa wilaya na wajumbe wa kamati ya Usalama wamehitimisha ziara hiyo kwa kukagua ujenzi wa  Shule ya Sekondari Fumagila unaogharimu kiasi cha shilingi 175,000,000 na ujenzi wa Mabweni mawili , Madarasa 4 na Nyumba 2 za waalimu katika Shule ya Sekondari Stanslaus Mabula wenye gharama ya shilingi 581,000,000. Buhongwa -Kishiri hadi Igoma .

Ziara hiyo ya siku mbili imeanza Februari 13-14, 2025 kwa lengo la kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani humo.

Katika ziara hiyo Kamati ya Usalama wamekagua ujenzi wa mradi wa Barabara ya km 14.4 unaojengwa na Mkandarasi Zong-Mei Engeneering group Company Limted kwa kiwango cha rami kutoka Buhongwa, Kishiri hadi Igoma unaogarimu kiasi cha shilingi Bilioni 22.7

Mhe Makilagi amempongeza Mkandarasi anayejenga Barabara ya Buhongwa,kishiri  hadi Igoma kwa kasi anayoenda nayo licha ya kuchelewa kuanza ujenzi  20 Nov, 2023. Lakini hadi sasa wamefikia asilimia 71% na kumtaka kuongeza kasi ili ujenzi uishe kwa wakati.

Ameongeza kuwa kukamilika kwa Barabara hiyo kunaimarisha uchumi, kuna rahisisha maisha ya watu katika kupata huduma za kijamii, na kisiasa nakutoa wito kwa mkandarasi kumaliza haraka ili izinduliwe kabla ya uchaguzi mkuu .

Pia Mhe. Makilagi ametoa maelekezo kwa Mkandarasi, kuhakikisha wanajenga uzio kwenye shule zote ambapo Barabara inapita kulingana na mkataba unavoelekeza nakuweka alama kuonesha kuwa maeneo hayo kuna taasisi ili kuzuia ajari Barabarani.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.