• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Kamati ya siasa ya Mkoa wa Mwanza yafanya ziara kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza

Posted on: August 24th, 2021

Kamati ya Siasa ya  Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mwanza  yafanya   ziara ya  kukagua utekelezaji  wa Ilani kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021  leo  24/8/2021 katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza


Akiongoza ziara hiyo  Mwenyekiti wa CCM Mkoa  wa Mwanza Dr Antony Diallo akiambatana  na  Mkuu wa Mkoa Mhandisi Robert Gabriel, Katibu wa CCM Mkoa Ndugu Julius Peter, MNEC wa CCM mkoa Ndugu Jamal Babu, MNEC  Richard Bundala na Wajumbe wote wa Kamati ya siasa mkoa wa Mwanza


Wametembelea na kukagua Miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali ya chama cha mapinduzi katika halmashauri ya jiji la Mwanza

Miradi hiyo ni Eneo la Ufukweni mwa ziwa Victoria  linalojengwa na TAMPERE katika kata ya Isamilo.


Ujenzi wa Soko kuu Mjini Kati,

Kutembelea na kuona ukarabati wa Shule Kongwe za Pamba Sekondari na Mwanza Sekondari. Ambapo ukarabati wa hizo shule mbili umegarimu zaidi ya Bilioni 1 kutoka serikali kuu .

Kamati ya siasa imeshuhudia  Walimu wakiipongeza Serikali ya awamu ya sita inayo ongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan Kwa kuendelea kutoa fedha za ujenzi na ukarabati wa majengo, Upandishaji wa Madaraja ya walimu

Aidha Wamemuomba Mwenyekiti wa CCM mkoa  wa Mwanza Dr Antony Diallo kuwafikishia salamu hizo kwa Mwenyekiti wa CCM  Taifa Mama Samia Suluhu Hassan


Hata hivyo Kamati imetembelea na  na Kuona Ujenzi wa Meli Mpya ya MV- MWANZA HAPA KAZI TU ambayo imefikia katika hatua nzuri ya asilimia 60 ya Ujenzi.

Aidha Kamati imetembelea ujenzi wa soko kuu la kisasa pamoja na ujenzi wa stendi ya Nyegezi ambapo Mkandarasi ameahidi kufikia Mwakani mwezi Juni miradi itakuwa imekamilika.


Pia wajumbe Wametembelea na kuona ujenzi wa Bweni la watoto wenye Mahitaji Maalumu ya Shule ya msingi Buhongwa 'A'_

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.