• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Kamati ya huduma,Uchumi,Elimu na Afya yastajabishwa na utekelezaji wa miradi mingi ya maendeleo unaofanywa na Jiji la Mwanza

Posted on: April 17th, 2019

Kamati ya Huduma,Uchumi,Afya na Elimu ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza leo imefanya ziara ya kikazi kuangalia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya utoaji huduma na ukuzaji Uchumi kwa wananchi .

Kamati hiyo ikiongozwa na Mhe. Hamidu Seleman ambaye ni mwenyekiti wa kamati  wametembelea Soko kuu la Mwanza kuangalia eneo litakapojengwa soko jipya la kisasa, Eneo la Sinai - mahali ambapo wajasiriamali wadogo wanatarajiwa kuamishiwa kupisha ujenzi wa Soko kuu, Ujenzi wa madarasa matatu shule ya msingi Kiahiri, ujenzi wa matundu ya vyoo shule ya msingi Lwanhima  ujenzi wa madarasa matano Buhongwa sekondari na ujenzi wa nyumba za walimu shule ya msingi Iseni.

Aidha Kamati ilipata fursa ya kutembelea Zahanati ya Buhongwa kuona namna wananchi wanavyohudumiwa.

Kwa kuhitimisha ziara Mwenyekiti na Kamati nzima wameridhishwa kwa namna miradi inavyotekelezwa lakini pia wamevutiwa ubunifu wa Halmashauri kununua mashine ya matofali inayosaidia kwa kiasi kikubwa ujenzi wa madarasa kwa kasi katika shule mbalimbali Jijini Mwanza.

"Sasa hivi wananchi wameitikia kuchangia maendeleo katika kata zote hivyo tunamwomba Mkurugenzi aanze kuleta matofali ili wananchi wa maeneo haya waweze kuchangia zaidi" Mhe Diwani wa kata ya Kishiri alisikika akisema.

Madarasa mapya ya shule ya Sekondari Buhongwa yaliyoanza kujengwa mwezi Februali 2019

Jengo la madarasa matatu yanayojengwa kwa nguvu za wananchi wakishirikiana na Halmashauri ya Jiji la Mwanza Kishiri shule ya msingi.

Msingi wa madarasa mawili uliojengwa na wananchi wa Buhongwa ukiwa kwenye hatua za kukamilika.

Soko la nguo mlango mmoja linalokadiriwa kugarimu milioni 171 mpaka kukamilika likiwa kwenye asilimia 60 katika ujenzi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.