• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA ZAIDI YA BILIONI MBILI.

Posted on: February 7th, 2025

Naibu Meya wa Jiji la Mwanza Mhe; Bikhu Kotecha ameiongoza Kamati ya Fedha na Uongozi ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni mbili.

Akizungumza na viongozi mbalimbali wa serikali na Kamati za usimamizi wa miradi hiyo,Mhe; Kotecha amewataka viongozi hao kuhakikisha wanatekeleza na kukamilisha utekelezaji wa miradi hiyo Kwa wakati na pia kuzingatia thamani ya fedha (value for money).

Kotecha amaesema lengo la serikali ni kuhakikisha wananchi wanasogezewa huduma karibu kama ambavyo serikali ya awamu ya sita imekuwa ikiahidi jamii katika utekelezaji wa shughuli zake.

Akitoa shukrani zake Kwa serikali ya awamu ya sita,diwani wa kata ya Luchelele Mhe; Vincent Lusana Tegge amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa kuleta fedha ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari Kisoko na pia kuushukuru Uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza Kwa kukubali utekeleza mradi wa ujenzi wa shule hiyo kupitia vikao vya Kamati na Mabaraza ya Madiwani.

Tegge amesema ujenzi wa shule hiyo mpya utasaidia kuboresha elimu na pia kuwapunguzia wanafunzi umbali mrefu wa kupata elimu hasa ikizingatiwa kuwa kata ya Luchelele yenye mitaa kumi Kwa sasa inahudimiwa na shule Moja tu ya Luchelele yenye kidato Cha kwanza hadi Cha nne.

Kamati ya Fedha na Uongozi imetembelea na kukagua jumla ya miradi minne ya maendeleo ambayo utekelezaji wake unaendelea ikiwamo ujenzi wa shule mbili mpya za sekondari za Kisoko na Kakebe na pia upanuzi wa zahanati mbili za Mhandu na Mahina ambapo miradi yote hii inagharimu zaidi ya shilingi bilioni mbili.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.