• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga wajifunza mazuri Mwanza.

Posted on: September 21st, 2023

Halmashauri ya Jiji la Mwanza imepokea wageni kutoka halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga leo tarehe 21/09/2023 waliofika kwa lengo la kujifunza juu ya shughuli za miradi mbali mbali ya maendeleo na namna ya ukusanyaji mapato ndani ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

Ugeni huu kutoka sumbawanga umeongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga Ndg Gerald Kalolo Ntila akiambatana na Mh. Mbunge, Mkurugenzi wa wilaya hiyo, Waheshimiwa madiwani, Wakuu wa Idara na wataalamu mbalimbali na kupokelewa na Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza.

Akizungumza na wageni hao Mstahiki Meya Ndg. Sima Costantine Sima amewakaribisha wageni hao na kusema, “Nimefurahishwa sana na ujio wenu na ninaamini katika ziara hii kuna mengi mtajifunza pia tutajenga mahusiano mazuri kati ya Halmashauri zetu na kwamba ni sehemu ya refreshment maana Mwanza yetu ina vivutio vingi”. Amesema Ndg. Sima.

Akiwapitisha kwenye mawasilisho ya miradi mbali mbali iliyokamilika na inayoendelea kutekelezwa Ndg. Costantine Luhinda ameeleza miradi kadhaa iliyopo ikiwemo ujenzi wa soko la kisasa,stendi ya mabasi Nyegezi, kiwanda cha tofali,ufugaji wa samaki kwa njia ya cage,uendeshaji wa shule ya English medium, dampo la Kisasa na mingine mingi.Katika kujifunza waheshimiwa madiwani na wataalamu wamepata fursa ya kuuliza maswali mbali mbali na mawsali hayo yamejibiwa kwa kina na wataalamu husika toka Jiji la Mwanza.

Aidha baada ya mawasilisho wageni hao wametembelea mradi wa ujenzi wa soko kuu la kisasa.stendi ya mabasi na ufugaji wa samaki kwa njia ya cage.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.