• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

HALMASHAURI YA LUDEWA YAFANYA ZIARA MWANZA.

Posted on: September 3rd, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ludewa  Ndg Sande Deogratias akiwa ameambatana na wataalaamu leo tarehe 03 sep, 2024 amefanya ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa Lengo la kujifunza ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba.

Ikiwa Mradi wa ufugaji wa Samaki kwa njia ya vizimba ni moja ya mradi unaofanya vizuri katika miradi ya mpango mkakati iliyopo katika Jiji la Mwanza hivyo wakaona ni vyema kuja kupata elimu ya ufugaji huo wa samaki ili wakautumie katika ziwa Nyasa kwa kufanya uwekezaji mkubwa na wenye tija utakayoiongezea  Halmashauri hiyo mapato.

Vilevile wataalamu hao wameweza kufika  Eneo la kisoko lililopo Luchelele ambapo uwekezaji wa samaki kwa njia ya vizimba unafanyika ili kupata elimu kutoka kwa  Maafsa uvuvi  wa Jiji la Mwanza wakiongozwa na Ndg, Suzani ambapo wameeleza zaidi ya vikundi 15 vimenuafaika na wameeleza hatua zote za kufanya mpaka mradi kukamilika ikiwa ni pamoja na kujisajili ili kutambulika na kupewa kibali cha Uvuvi wa samaki kwa njia ya vizimba .

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ludewa akiwa ameambatana na wataalaamu

Nao wageni kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa wameshukuru kwa ushirikiano na kuahidi yote waliyojifunza wanakwenda kuyafanyia kazi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • VIJANA 75 WA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUNUFAIKA NA MAFUNZO YA UWEZESHAJI KATIKA UFUGAJI WA SAMAKI WA VIZIMBA

    October 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAFUNGUA MADARASA YA KISASA NA KUHAMASISHA UJUMBE WA MSHIKAMANO

    August 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWASILI WILAYA YA NYAMAGANA

    August 25, 2025
  • MFUMO WA FIDIA KWA WATUMISHI (CWF) WATOA ELIMU KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUHUSU HUDUMA YA MAFAO NA FIDIA

    September 16, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.