• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

DODOMA JIJI YAHITIMISHA ZIARA YA MAFUNZO

Posted on: December 31st, 2024

Ikiwa ni siku ya pili ya ziara ya waheshimiwa madiwani na wataalamu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza leomdlu  Disemba 31 walipata fursa ya kutembelea baadhi ya Miradi iliyoko ndani na nje ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

Ziara hiyo iliyoongozwa na Meya wa jiji la Dodoma Prof Davis Mwamfupe imehitimishwa kwa madiwani na wataalamu kutembelea mradi wa ujenzi wa Daraja la Magufuli linalotoka Kigongo Katika Wilaya ya Misungwi kwenda Busisi Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza.

Akieleza hatua iliyofikiwa Katika mradi huo Mhandisi Mshauri Bw. Aloyce Kadokado amesema,“Mradi huu umefadhiliwa na Serikali yaJamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa asilimia mia moja (100%) na unajengwa na kampuni mbili toka china, Mradi huu umefikia asilimia 94.3% ambapo kufikia February 2025 mradi utakuwa umekamilika ”.

Kadokado ameongeza kuwa mpaka kukamilika kwa mradi huu utagharimu kiasi Tshs Bilioni 716 ambapo mpaka sasa mkandalasi ameshalipwa kiasi cha Tshs Bilioni 434 kati Bilioni 592 bila VAT.

Ameendelea kwa kusema kuwa Hayati John Pombe Magufuli aliuacha mradi ukiwa na asilimia 25% na Mhe Rais wa awamu ya sita Dr. Samia Suluhu Hassan ameendeleza Mradi huu mpaka kufikia asilimia 94.3%.

Aidha Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Prof. DavisMwamfupe amesema, “ sisi ziara yetu ilihusu kuja kujifunza na kuona kwa macho ya kile kinachoendelea katika utekelezaji wa Miradi,kweli tumeona kwa macho na leo tumepata tafsiri sahihi ya usemi wa Kazi iendelee na kweli inaendelea”.

 Naye Bw. Fanuel Kasenene mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza aliwashukuru madiwani na wataalamu kutoka Dodoma Jiji kwa kufika na kujionea yale yanayoendelea ndani na nje ya Halmashauri na kuongeza kuwa Mradi huu utaongeza utaongeza pato la Taifa kupitia usafirishaji wa mizigo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.