• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

DC NYAMAGANA ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA TASAF

Posted on: January 10th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya yamagana Mhe. Amina Makilagi  amesema Wilaya yake imefanya vizuri katika kutekeleza miradi ya wananchi kupitia mfuko wa kunusuru kaya maskini (TASAF) kutokana na ushirikiano uliopo baina ya viongozi, wataalamu na wananchi.

Ameyasema hayo katika ziara yake iliyoanza Januari  8 na kuhitimishwa Januari 10,2025 yenye lengo la kukagua miradi inayotekelezwa na TASAF katika kata ya Kishiri,Butimba,Igoma na Mahina na kupokea taarifa za utekelezaji kutoka kwa mratibu wa  miradi ya TASAF ngazi ya Halmashauri BW. Kabwe.

Kati ya miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ujenzi wa jengo la OPD lenye thamani ya tsh Milioni 140,942,840.10, jengo la IPD  lililogharimu tsh 130,684,181.na Thietre tsh 100,045,892.85 katika Zahanati ya Funagila iliyoko kata ya kishili.

Miradi mingine iliyokaguliwa ni jengo la Utawala linalogharimu tsh 100,045,892.85, bweni tsh 160,753,558.14, bwalo tsh 100,045,892.85 na madarasa matatu,Ofisi na matundu 6 ya vyoo vilivyogharimu tsh100,045,892.85 Sekondari ya Nyamagana kata ya Butimba.

Vile vile Mkuu wa Wilaya alikagua mradi wa ujenzi wa mabweni mawili katika shule ya Sekondari Mahina kata ya Mahina yanayogharimu tsh 347,917,290.00.

Pia Makilagi alikagua mradi katika kata ya Igoma ambao ni ujenzi wa mabweni mawili yanayogharimu tsh 349,149,390.00, bwalo tsh 136,945,349.03 pamoja na madarasa matatu,Ofisi na matundu 6 ya vyoo vinavyogharimu tsh132,632,349.03 Shule ya Sekondari Shamaliwa.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya  amesema amefurahishwa na miradi ya TASAF katika wilaya yake kwa kufanikiwa kwa kiwango kikubwa na amewapongeza viongozi, kamati na waratibu katika utekelezaji wa majukumu yao.

Aidha amewaomba waendelee kutimiza wajibu wao  kwa uadilifu na uaminifu na kuhakikisha kama kuna  changamoto wanazitatua ili miradi iweze kukamilika kwa wakati.

Ziara imehitimishwa kwa Mkuu wa Wilaya kufanya mikutano mbalimbali ya hadhara katika kata ya Igogo na Pamba iliyokuwa na lengo la kuhamasisha wazazi kupeleka watoto Shule kwa kuwa Elimu ni haki ya kila mtoto na  kutoa agizo kwa viongozi na wasimamizi wa shule kutowawekea masharti yoyote pindi wanapokwenda kuwaandikisha watoto.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.