• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

ALAT TAIFA YAKAGUA MRADI WA SOKO KUU

Posted on: February 14th, 2025

Ikiwa ni maandalizi ya Mikutano Mkuu wa (ALAT) Taifa Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) Taifa Mhe. Murshid Ngeze amewaongoza wajumbe wa Kamati hiyo katika ziara ya kukagua mradi wa Ujenzi wa Soko kuu la kisasa unayotekelezwa na Serikali katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

Ziara hiyo imefanyika February 14,2025 kwa lengo la kuona maendeleo na ufanisi wa ujenzi huo na kufanya tathmini ya fursa mbalimbali zitakazopatikana baada ya soko hilo kukamilika.

Aidha Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza Mhe.  Sima C. Sima amesema kuwa ahadi ya Serikalini ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan inayolenga kutatua adha ya ukosefu wa maeneo ya kufanyia biashara kwa wafanyabiashara, imetimia baada ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza kukamilisha ujenzi wa soko kuu la kisasa.

Mhe. Sima ameongeza kuwa Mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa soko hili, ni Kampuni ya Mohamed Builders Company L.T.D inayotarajia kukabidhi soko hili hivi karibuni ambapo fursa mbalimbali za kiuchumi zitapatikana na litahudumia zaidi ya wafanyabiashara 1,400.

Naye Msimamizi wa Mradi Bw. Hamis  Zakayo amesema kuwa ujenzi umefikia asilimia 99% na inakadiriwa kuwa hadi sasa Serikali imetumia zaidi ya shilingi bilioni 27.

Baada ya ufafanuzi Mwenyekiti wa ALAT Taifa ameongea na vyombo vya habari na kueleza  dhana ya Serikali kuanzisha miradi ya kimkakati katika Halmashauri kuwa ni kuijengea uwezo Halmashauri wa kuongeza mapato ya Nchi na kutengeneza msingi wa kujitegemea. 

Vile vile Mhe. Ngeze amempongeza mkandarasi kwa kuwa mzalendo na kutekeleza  miradi mbalimbali ya Halmashauri  kwa kiwango cha juu ambapo katika ujenzi wa Soko kuu  la kisasa tayari amefikia asilimia 99% na kuongeza kuwa Halmashauri inao wajibu wa kusimamia vyema na kuendelea kutafuta vyanzo vingine vya mapato ili kujiimarisha kiuchumi.

Mwisho wajumbe hao walipata nafasi ya kutembelea na kukagua ujenzi wa daraja la JPM Kigongo/Busisi, ambalo ujenzi wake umefikia asili.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.