• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MAFUNZO YATOLEWA KWA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA 10% HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA.

Posted on: January 30th, 2025

Wanufaika wa mikopo itokanayo na asilimia kumi ya mapato ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza wamepatiwa mafunzo ya namna ya kufanya biashara zao ili mikopo waliyopatiwa iwe na tija na kuwainua kiuchumi.

Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Gandhi Hall leo tarehe 30/01/2025 na kuhudhuriwa na wanavikundi waliopata mkopo, Mkuu wa  Idara ya Kilimo na Mifugo, Afisa Maendeleo ya Jamii na mwakilishi wa Kitengo cha Mawasilisno Serikalini.

Akifungua mafunzo hayo  kwa niaba ya Mkurugenzi Ndg, Erick Mvati  ambaye ni Mwenyekiti wa Huduma za mikopo na Mkuu wa Idara ya Kilimo na Mifugo Halmashauri ya Jiji la Mwanza amevipongeza vikundi vyote 87 vilivyokidhi vigezo na kupata sifa ya kupata mkopo wa asilimia 10%ambapo vikundi vya  wanawake ni 49, vijana 31 na wenye ulemavu 7 ambavyo vimepatiwa jumla ya Shilingi Bilioni 1.3 kwa wanavikundi wote 488.

Bw. Mvati amesema dhumuni kuu la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo na ufanisi wanufaika wote wa namna ya kusimamia mkopo wa 10% ili kuepuka anguko la kibiashara katika rasilimali zao jambo litakalowawezesha kurejesha na kumaliza mkopo.

 Aidha amewataka wanavikundi kuwa waaminifu wakati wa marejesho ukifika kwa kuleta fedha kwa wakati na kiwango kilichopo kwenye mkataba na kuahidi kuwa kwa vikundi vitakavyorejesha mapema vitapata fursa ya kukopeshwa na kupandishiwa kiwamgo cha mkopo kwa awamu nyingine.

Naye Zena Kapama Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii  amewaeleza wanufaika wa mkopo  kuwa mkopo utarejeswa ndani ya miezi 3 mara baada ya kupokea na kwa vikundi vya ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba watarejesha baada ya miezi nane huku akisema kikundi kinaruhusiwa kulipa zaidi ya  rejesho lililoko kwenye mkataba na siyo pungufu na kuwataka kulipa kwa wakati kuepuka usumbufu.

Vilevile amewataka wanufaika kuwa na maelewano katika matumizi ya pesa na kuwasisitiza kutunza akiba ya dharula ili kuepuka usumbufu wakati wa urejeshaji nakuongeza kuwa kikundi kitakachochelewesha kitapewa notisi ya siku 14-30 na wakishindwa sheria itachukua mkondo wake dhidi yao.

Naye Mwenyekiti aliyewawakilisha wanufaika  wa mkopo ameishukuru Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa kuwapatia mkopo na amewataka wenzake kuwa Mabarozi wazuri kwa kazi anazozifanya  Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassani hasa kutoa mkopo na kuahidi kutekeleza vyema ilani ya Chama cha Mapinduzi  na kuongeza kuwa mafunzo waliyopata wanakwenda kuyafanyia kazi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.