• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

WANANCHI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Posted on: November 19th, 2024

. 

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe, Amina Makilagi amewahimiza wananchi wa Kata ya Mahina kujitokeza kwa wingi kushiriki zoezi la upigaji kura na kuwachagua viongozi watakaowaongoza.

Makilagi ametoa wito huo Jana Novemba 18,2024 wakati akiendelea na ziara ya kata kwa Kata na kuongeza kuwa  ni haki ya Kila mtanzania mwenye umri kuanzia miaka 18 na kuendelea kushiriki zoezi la uchaguzi utakaofanyika Novemba 27, 2024.

Vile vile Mhe, Makilagi amewasisitiza wananchi kushiriki kampeni za wagombea wa vyama vyote 19 vya siasa  zitakazoanza tarehe 20-26 Novemba 2024  ili kusikiliza sera za Kila mgombea na kuchagua kiongozi bora. 

Aidha amekemea kampeni zisizo za staha kwa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wakati wa kunadi sera zao badala yake wafuate kanuni, taratibu na sheria ili kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa amani na utulivu.

Katika hatua nyingine Makilagi alipata   nafasi ya kuwaeleza wananchi juhudi mbalimbali za kuondoa changamoto kwa wananchi zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr. Samia Suluhu Hassan ambapo amezitaja baadhi ya juhudi kuwa ni uboreshaji wa sekta ya Elimu, Afya, Miradi ya maji pamoja na muindombinu ya usafirishaji.

Naye Bw. Edward Ryoba Kisunte mkazi wa Mahina amempongeza Mhe, Mkuu wa wilaya kwa juhudi alizonazo  za kiutendaji za kuhakikisha anasimamia Miradi yote ya maendeleo kupitia serikali ya awamu ya sita ampapo kwa Wilaya ya Nyamagana miradi mingi imetekelezwa na matunda yake yanaonekana.

Mwisho amewashukuru wananchi wote kwa kujitoa  na kushiriki mkutano huo na kuwasisitiza wananchi wote waliojiandikisha Katika daftari la makazi washiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.