• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana apiga marufuku "Zero" wilayani kwake

Posted on: February 27th, 2018


Mkuu wa Wilaya ya Nyamgana Ndugu Marry Tesha Onesmo amepiga marufuku wanafunzi kufeli mitihani ya Kidato cha Pili na Cha Nne katika shule zake.

Ndg Marry Tesha Onesmo ameyasema hayo alipokuwa akifanya ziara ya kikazi ya kutembelea na kukagua maendeleo ya kitaaluma ya Shule za Sekondari zilizomo katika wilaya ya Nyamgana .

Licha ya Mkuu wa wilaya kuendelea kutoa pongezi kwa shule za sekondari za wilaya ya Nyamagana kufanya vizuri katika Mitihani ya Kidato cha pili na Kidato cha Nne mwaka 2017 na Kuufanya Mkoa wa Mwanza kuwa watano Kitaifa na Wilaya ya Nyamagana kuwa ya Kwanza Kimkoa.

“Niwapongeze kwa kuendelea kufanya vizuri katika mitihani ya kitaifa  na kubakia ndani ya 10 bora kwa kila mwaka licha ya changamoto kadha wa kadha zinazowakabili, na kwa sasa serikali ya awamu ya Tano imeamua kuyatatua”

Ndugu Marry Tesha Onesmo ameendelea kusisitiza kuwa lengo kubwa la serikali ni kuhakikisha wanaboresha elimu na kuzifanya shule za umma kuwa na uwezo wa kushindana na shule za watu binafsi na kuwanufaisha watanzania kwa watoto wao kupata elimu bila malipo.

Suala la nidhamu na utoro wa wanafunzi mashuleni limesisitizwa na Mkuu wa wilaya ya Nyamagana kwa kuwataka wakuu wa shule kuhakikisha watoro wote waliochelewa kwa muda wa mwezi mmoja majina yao kupelekwa kwa maafisa elimu kata na Maafisa hao kuyawasilisha ngazi husika.

Aidha Mkuu wa wilaya amesisitiza Maafisa Elimu Kata kuhakikisha Wanafunzi wote waliofaulu kujiunga na kidato cha Kwanza  wanafuatiliwa na kuhakikisha wanadahiliwa kwenye shule husika na kuhudhuria mafunzo na ambao wamejiunga na shule binafsi ni vyema pia ikafahamika ili kuzuia utoro.

Mkuu wawilaya amesema shule ziendelee na ukarabati wa madawati yaliyoaribika ili kuendelea kupunguza changamoto ya upungufu wa madawati

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.