• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana aanza ziara jana kukagua maendeleo ya shule za sekondari zilizopo wilayani humo

Posted on: February 8th, 2018


Mkuu wa wilaya ya Nyamagana mheshimiwa Mary Tesha ameanza ziara ya kikazi jana kukagua shule za sekondari zilizopo Jijini Mwanza.

Katika ziara hiyo Mkuu wa wilaya aliambatana na Kamati ya Ulinzi na usalama ya wilaya,pamoja na wataalamu kutoka Halmashauri ya Jiji la Mwanza.


Mkuu wa wilaya alifanikiwa kutembelea shule ya sekondari Fumagila,Igoma na Shamaliwa.

Katika ziara hiyo Mkuu wa wilaya amebaini upungufuwa madawati na madarasa kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza kulingana na sera ya serikali ya awamu ya Tano ya “elimu bila malipo”

Sera hii imehamasisha wananchi kuwapeleka watoto shule na kuzifanya shule zetu kuwa na ongezeko kubwa la wanafunzi.

Aidha katika ziara yake hiyo Mheshimiwa Tesha akiwa katika shule ya sekondari Shamaliwa amewataka wanafunzi wa kike kupimwa ujauzito mara kwa mara ili kuweza kuwabaini wanafunzi wajawazito “serikali haina mzaa hata kidogo na watoto wanaopata mimba shuleni wakati serikali inaangaika kuwasomesha” amesema Bi Tesha.

Wakati huo huo Mkuu wa wilaya akiwa shule ya sekondari ya Igoma amechangia kiasi cha Tsh 500,000 kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya choo katika shule hiyo

Aidha Mkuu wa wilaya amehamasisha jamii kuchangia kwa hiyari maendeleo ya shule hizo kutokana na upungufu uliopo licha ya jitihada zinazofanywa na serikali ya awamu ya Tano kuboresha elimu.

Ziara hii ni utaratibu wa kikazi aliojiwekea Mkuu wa wilaya wa kutembelea miradi ya maendeleo. Mkuu wa wilaya ataendelea kukagua shule za sekondari ambazo zipo zaidi ya 50.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.