• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MAAFISA HABARI WATAKIWA KUTOA TAARIFA KWA WANANCHI JUU YA MIRADI INAYOTEKELEZWA NA SERIKALI

Posted on: April 3rd, 2025

Katika kuboresha na kuongeza ufanisi wa kazi za Maafisa Habari na kuleta mabadiliko chanya katika mawasiliano ndani ya jamii, Aprili 03,2025 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya mapinduzi Zanzibar, Mhe Hemed Suleiman Abdulla amefungua Kikao Kazi cha 20 cha Maafisa Habari,Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini katika ukumbi wa Mikutano wa New Amani Hotel Unguja-Zanzibar.

Akifungua Kikao hicho kwa niaba ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi la Zanzibar Mhe Dkt Hussein Ally Mwinyi, Makamu huyo amewataka Maafisa Habari nchini kutoa mrejesho wa kazi zote zinazotekelezwa na Serikali kwa wananchi kuelekea Uchaguzi Mkuu.

"Taarifa za miradi inayotekelezwa na Serikali zote mbili ziwafikie wananchi kwa wakati ili waweze kufanya tathmini ya taarifa za kina za utekelezaji wa miradi ili waweze kufanya maamuzi kuelekea Uchaguzi Mkuu"Amesema Mhe Hemed Suleiman Abdulla.

Mhe. Hemed ameongeza kuwa kikao hicho kina lengo la kutoa mafundo na mazingativu na kujifunza pamoja na Kutoa maelekezo kwa Maafisa Habari wa Tanzania Bara na Zanzibar pamoja na kufanya tathimini kwa kazi zilizofanyika kwa mwaka mzima.

Aidha Mhe Hemed Suleiman Abdulla amewasisitiza Maafisa Habari kuongeza juhudi za kutangaza miradi yote inayotekelezwa na Serikali pamoja na kumuunga mkono Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi anazozifanya za kuliongoza Taifa ili kuimarisha utawala bora.

Akihitimisha hotuba yake Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema Serikali itaendelea kukamilisha miradi yote ikiwa ni pamoja na mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere na Reli ya kisasa ya SGR.

Kikao Kazi hicho kimefunguliwa April 3 na kinatarajia kuhitimishwa Aprili 6,2025.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.