• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Kampuni ya ujenzi ya STC yakabidhi milioni tano na kuhaidi matofali 3000 shule ya Sekondari Sahwa

Posted on: April 3rd, 2020

Kampuni ya Ujenzi ya  STC kupitia Mkurugenzi wake Ndg. Allan Makame hivi leo imekabidhi Tsh. 5,000,000.00 fedha taslimu kwa Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Dkt. Philis Nyimbi pamoja na Ahadi ya Matofari 3,000 Kwaajili ya kuendeleza Ujenzi wa vyumba sita vya madarasa katika Shule ya Sekondari Sawah iliyopo Kata ya Lwanimah katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza  inayojengwa kwa nguvu za wananchi.

Akipokea msaada huo Dkt. Nyimbi Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana amepongeza Kampuni hiyo kwa msaada huo na kuwataka wawekezaji wengine kuiga mfano huo.  Kadharika amepongeza ushiriki wa Mbunge na Diwani Kata ya Lwanimah pamoja na  wananchi katika kuweka nguvu UJenzi wa Madarasa Kumi shule ya Swah, ikiwa manane yamekwisha kamilika na sita yapo katika hatua ya Msingi.

Naye Mwakilishi wa Mhe. Stansalaus Mabula Mbunge Jimbo la Nyamagana, Bi. Florah Magabe amepongeza Kampuni ya Ujenzi ya STC kwa kutimiza matakwa ya sheria yauwekezaji kurejesha sehemu ya fedha katika Jamii waliyowekeza kwa vitendo ambao utakuwa chachu katika kupunguza uhaba wa vyumba vya madarasa  na kuwezesha kkukamilisha madarasa 10 ya shule hiyo.

Naye Bw. Allan akikabidhi fedha hiyo amesema anashukuru kwa Mbunge Jimbo la Nyamagana Mhe. Mabula kuwa mstari wa mbele kufuatilia kwa ukaribu utekelezaji wa Mradi wa UJenzi wa Tank Lwanimah na kuhaidi Maji kutoka wiki ijayo. Hivyo Kampuni yake imewiwa kutoa mchango ikiwa Ni sehemu ya kushiriki shughuli za kijamii Nyamagana  kutokana na kufanya kazi vizuri na uongozi wa Nyamagana.  

Hafla hiyo ya Makabidhiano hayo imefanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana na kuhudhuriwa na Diwani na Mtendaji Kata ya Lwanimah, Uongozi wa CCM Kata, Afisa Elimu Kata, Katibu Tawala Wilaya pamoja na Katibu Tarafa Nyamagana.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.