• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Kamati ya Fedha ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza yaridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo

Posted on: May 20th, 2022

KAMATI YA FEDHA YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MIRADI YA UMILIKISHAJI WA VIWANJA - LUCHELELE


KAMATI ya fedha Halmashauri ya Jiji la Mwanza leo imefanya ziara katika maeneo ya Upangaji, Upimaji na umilikishaji wa viwanja eneo la Luchelele pamoja na Maendeleo ya ujenzi wa Vyumba vinne vya madarasa katika Shule ya Msingi Mabatini.


Akizungumza mara baada ya ziara hiyo Naibu Meya wa Jiji la Mwanza Mhe, Lodrick Ngoye amewataka Idara ya Mipango miji, kitengo cha Ardhi Jiji kuhakikisha wanakamilisha uthaminishaji, upangaji na ulipaji wa fidia kwa wananchi wa Luchelele wanaotakiwa kupisha mradi wa viwanja hivyo.


“Mradi huu ni wa kimkakati na unatakiwa ukamilike kwa wakati ili uuzaji wa viwanja uanze mara moja na Jiji lianze kupata mapato yake ili fedha hizo zisaidie baadae katika upimaji wa maeneo mengine ya uwekezaji" Mhe. Ngoye


Awali akitoa maelezo juu ya mradi huo, Afisa Ardhi Mteule Bi. Halima Nassoro amesema Jiji lilipokea kiasi cha zaidi ya Tsh.Millioni 800 kutoka Wizara ya Ardhi kwa ajili ya Upangaji, upimaji na umilikishaji wa viwanja 541 eneo la Luchelele.


Ameongeza kuwa, mara baada ya kupokea kiasi hicho wameweza kupima jumla ya viwanja 715 huku zaidi ya wakazi 100 wakitakiwa kulipwa fidia ya zaidi ya Tsh. Milioni 600 ili kupisha maeneo ya mradi.


“Kwa sasa tumeipitia michoro ya mipango miji na wataalam wako site kwa ajili ya kupanda bikoni ili kuzipa ramani ili kuweza kutangaza na kuanza kuuza viwanja vilivyo katika mandhari nzuri ya uwekezaji wa Hoteli, shule, Majengo mall na maeneo safi ya kuishi,”amesema Bi. Nassoro.



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.