• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Jiji la Mwanza lapewa lapongezwa kwa kutekeleza mradi wa ujenzi wa Dampo la kisasa

Posted on: August 6th, 2019

Naibu waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira  Mhe.Mussa Sima amefanya ziara ya kikazi  Jijini Mwanza kwa kulitembelea Dampo  la kisasa lilopo Kata ya Buhongwa.

Akikagua ujenzi wa Dampo la kisasa Mhe.Sima amempongeza Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa kusimamia ujenzi wa Dampo la kisasa la Buhongwa.

Mhe Sima amesema kwa Dampo hilo kujengwa kutasaidia kupunguza mlipuko wa magonjwa na itasaidia katika utunzaji wa mazingira.

Akizungumza na waandishi wa Habari Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza Kiomoni Kibamba amesema awali Dampo lilikuwa na uwezo wa kukusanya tani 30 mpaka tani 35 kwa siku lakini kukamilika kwa ujenzi wa Dampo la kisasa ukusanyaji wa taka pia utaongezeka

Amesema ujenzi wa Dampo la kisasa unajumuisha ujenzi wa mizani ya kupimia taka, uzio, mefereji ya kuzuia maji ya mvua , sehemu ya kuoshea magari


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI (10%) ROBO YA KWANZA NA YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 September 17, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II September 11, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 WAFUNGUA MADARASA YA KISASA NA KUHAMASISHA UJUMBE WA MSHIKAMANO

    August 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWASILI WILAYA YA NYAMAGANA

    August 25, 2025
  • MFUMO WA FIDIA KWA WATUMISHI (CWF) WATOA ELIMU KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUHUSU HUDUMA YA MAFAO NA FIDIA

    September 16, 2025
  • Serikali Yatenga Bilioni 12 Kukamilisha Ujenzi wa Jengo la Ghorofa Tano Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana

    July 04, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.