• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Huduma ya Maji

Utunzaji wa maji safi na salama hutolewa hasa na Mamlaka ya Maj i Mwanza (MWAUWASA) ambayo sasa ni 92% kwa watu wote wanaoishi katikati Jiji na 67% kwa watu wanaoishi katika maeneo ya pembezoni.

Kwa sasa Jiji la Mwanza limekamilisha mradi mkubwa wa maji ambao unakadiriwa kuwaokoa watu 6,000. Hii itafikisha asilimia 73%. ya watu wanaopata maji Pia tuna mradi mpya wa maji katika eneo la Lwanhima ambalo baada ya kukamilika utagarimu Tsh 2,218,000,000.00 (WSDP)

Sekta ya maji ina lengo la a kufikisha huduma ya maji katika maeneo yote ya pembezoni mwa mji hususani katika maeneo ya Kata za Kishiri, Lwanhima na Luchelele pia kuhakikisha kuwa maeneo yote ya utoaji huduma za kijamii kama Zahanati, Hospitali ya Wilaya, Vituo vya Afya, Shule za Msingi na Shule za Sekondari zinapata huduma za Maji endelevu.

Mpaka sasa Idara imefikisha huduma ya maji katika maeneo ya Fumagila, Luchelele ziwani na Kilimo kishili kupitia Mfuko wa Maji vijijini na pia inaendelea na ujenzi wa mradi wa usambazaji maji katika kata ya Lwanhima.

Aidha, katika sekta hii inatoa elimu ya usimamizi wa miradi ya maji kwa vikundi vya watumiaji wa maji (COWSO) na wasimamizi wa magati ya maji pale mradi unapokamilika.

Hata hivyo huduma ya maji safi na salama kwa baadhi ya taasisi za serikali imekamilika, mpaka sasa shule za msingi zenye huduma ya maji ni 70, shule za sekondari zenye huduma ya maji ni 27, zahanati zenye huduma ya maji ni 12 na vituo vya afya vyenye huduma ya maji ni 2.

Huduma ya Maji safi na Salama katika maeneo ya pembezoni mwa mji imeongezeka kutoka asilimia 42 mwaka 2010 hadi kufikia asilimia 62 mwaka 2018 na tumefanikiwa kuongeza idadi ya vituo vya kuchotea maji kutoka 29 hadi 82 kwa maeneo ya Luchelele ziwani, Kishili kilimo na Fumagila kwa jumla ya miradi ya maji iliyokamilika.

Naomba kuwasilisha,

Eng Zubeda Saidi

K N Y. MKURUGENZI WA JIJI

Matangazo ya Kawaida

  • Tangazo la Kazi ya Uchaguzi( Msimamizi Msaidizi )- Halmashauri ya Jiji la Mwanza November 03, 2017
  • Tangazo la kazi- Msimamizi wa kituo cha uchaguzi November 03, 2017
  • Mwanza City Population projection January 07, 2018
  • Tangazo la Kazi ya Uchaguzi (Karani Muongozaji) - Halmashauri ya Jiji la Mwanza November 03, 2017
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mhe.Mongella aongoza zoezi la ugawaji wa vitabu zaidi ya 60,000 kwa shule za Msingi zilizopo Jijini Mwanza

    April 25, 2018
  • Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza atoa sintofahamu inayowasumbua walimu

    April 19, 2018
  • DC ateketeza zana za uvuvi haramu -Ziwa victoria

    March 23, 2018
  • Mkuu wa wilaya ya Nyamagana atoa Mwezi mmoja kwa wamiliki wa vyombo vya usafirishaji Bubu kujisajili

    March 22, 2018
  • Tazama Zote

Video

Jiji la Mwanza ya kusudia kutekeleza miradi mikubwa
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi
  • Zabuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Salary Slips portal

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Balewa/Machemba Road Street

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0768520195

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Idadi ya wageni

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.