• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Jiji la Mwanza lapewa lapongezwa kwa kutekeleza mradi wa ujenzi wa Dampo la kisasa

Posted on: August 6th, 2019

Naibu waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira  Mhe.Mussa Sima amefanya ziara ya kikazi  Jijini Mwanza kwa kulitembelea Dampo  la kisasa lilopo Kata ya Buhongwa.

Akikagua ujenzi wa Dampo la kisasa Mhe.Sima amempongeza Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa kusimamia ujenzi wa Dampo la kisasa la Buhongwa.

Mhe Sima amesema kwa Dampo hilo kujengwa kutasaidia kupunguza mlipuko wa magonjwa na itasaidia katika utunzaji wa mazingira.

Akizungumza na waandishi wa Habari Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza Kiomoni Kibamba amesema awali Dampo lilikuwa na uwezo wa kukusanya tani 30 mpaka tani 35 kwa siku lakini kukamilika kwa ujenzi wa Dampo la kisasa ukusanyaji wa taka pia utaongezeka

Amesema ujenzi wa Dampo la kisasa unajumuisha ujenzi wa mizani ya kupimia taka, uzio, mefereji ya kuzuia maji ya mvua , sehemu ya kuoshea magari


Matangazo ya Kawaida

  • Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza Kiomoni Kibamba awatakia Kheri watahaniwa wa Darasa la Saba wanaotarajia kuanza mitihani yao tarehe 11/09/2019 September 09, 2019
  • RATIBA YA ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA NYAMAGANA DKT.PHILLIS NYIMBI KWENYE KATA ZOTE November 20, 2019
  • Majina ya Wamiliki wa Ardhi ambao hawajachukua Hati miliki za viwanja vyao zilipo ofisi kuu za Halmashauri ya Jiji la Mwanza -Wanatakiwa kufika Idara ya Mipango miji March 26, 2018
  • TANZIA April 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • " Ni marufuku makundi ya Pikipiki kuchangisha michango isiyokuwa na tija kwa wanachama wake" Dkt .Phillis Nyimbi

    November 21, 2019
  • Kamati ya Fedha na uongozi ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza yafanya ziara ya kikazi kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo uanofanywa na Halmashauri

    October 29, 2019
  • Kamati ya Ulinzi na usalama ya wilaya ya Nyamagana akakugua soko kuu la muda la Mbugani

    August 24, 2019
  • Salamu za Pole kutoka Halmashauri ya Jiji la Mwanza

    August 11, 2019
  • Tazama Zote

Video

Kiapo cha wakuu wa wilaya wapya wa Mkoa wa Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi
  • Zabuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0768520195

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.